13 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wenye furaha ni wafu wanaokufa katika muungano na Bwana+ tangu wakati huu na kuendelea. Ndiyo, roho inasema, acheni wapumzike kutokana na kazi yao ngumu, kwa maana mambo waliyotenda yanaambatana nao moja kwa moja.”