Waroma 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo akina ndugu, ninawasihi kwa huruma za Mungu, mtoe miili yenu+ iwe dhabihu iliyo hai, takatifu,+ na yenye kukubalika kwa Mungu, utumishi mtakatifu pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+ 1 Timotheo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, kusudi la agizo hili* ni upendo+ unaotokana na moyo safi na dhamiri njema na imani+ bila unafiki. 1 Timotheo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 wakiishika siri takatifu ya imani kwa dhamiri safi.+ 1 Yohana 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na kila mtu aliye na tumaini hili ndani yake hujisafisha,+ kama huyo alivyo safi.
12 Kwa hiyo akina ndugu, ninawasihi kwa huruma za Mungu, mtoe miili yenu+ iwe dhabihu iliyo hai, takatifu,+ na yenye kukubalika kwa Mungu, utumishi mtakatifu pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+
5 Kwa kweli, kusudi la agizo hili* ni upendo+ unaotokana na moyo safi na dhamiri njema na imani+ bila unafiki.