1 Wakorintho 2:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na katika maneno yangu na mambo niliyohubiri sikutumia maneno ya kushawishi yenye hekima bali wonyesho wa roho na nguvu,+ 5 ili imani yenu iwe, si katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.
4 na katika maneno yangu na mambo niliyohubiri sikutumia maneno ya kushawishi yenye hekima bali wonyesho wa roho na nguvu,+ 5 ili imani yenu iwe, si katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.