Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 15:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana sitathubutu kusema kuhusu chochote isipokuwa yale ambayo Kristo amefanya kupitia mimi ili mataifa yatii, kwa maneno na matendo yangu, 19 kwa nguvu za ishara na mambo ya ajabu,*+ kwa nguvu za roho ya Mungu, hivi kwamba kutoka Yerusalemu na kuzunguka mpaka Ilirikamu nimehubiri kikamili habari njema kuhusu Kristo.+

  • 1 Wakorintho 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana Ufalme wa Mungu si maneno tu bali ni nguvu.

  • 1 Wathesalonike 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 kwa sababu hatukuwahubiria habari njema kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa roho takatifu na kwa usadikisho thabiti, kama mnavyojua jinsi tulivyotenda miongoni mwenu kwa ajili yenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki