-
Waroma 15:18, 19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Kwa maana sitathubutu kusema kuhusu chochote isipokuwa yale ambayo Kristo amefanya kupitia mimi ili mataifa yatii, kwa maneno na matendo yangu, 19 kwa nguvu za ishara na mambo ya ajabu,*+ kwa nguvu za roho ya Mungu, hivi kwamba kutoka Yerusalemu na kuzunguka mpaka Ilirikamu nimehubiri kikamili habari njema kuhusu Kristo.+
-
-
1 Wakorintho 4:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Kwa maana Ufalme wa Mungu si maneno tu bali ni nguvu.
-
-
1 Wathesalonike 1:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 kwa sababu hatukuwahubiria habari njema kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa roho takatifu na kwa usadikisho thabiti, kama mnavyojua jinsi tulivyotenda miongoni mwenu kwa ajili yenu.
-