-
Waroma 15:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 Kwa maana hakika sitajasiria kusema jambo moja ikiwa hilo si kati ya mambo yale ambayo Kristo alifanya kupitia mimi ili mataifa yawe yenye utiifu, kwa njia ya neno na kitendo changu,
-