Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yesu akawajibu: “Rafiki za bwana harusi+ hawahitaji kufunga wanapokuwa naye, sivyo? Bwana harusi akiwa pamoja nao hawawezi kufunga.

  • Waefeso 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa sababu mume ni kichwa cha mke wake+ kama vile Kristo alivyo kichwa cha kutaniko,+ yeye akiwa mwokozi wa mwili huu.

  • Ufunuo 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Pia, nikaona lile jiji takatifu, Yerusalemu Jipya, likishuka kutoka mbinguni kwa Mungu+ likiwa limetayarishwa kama bibi harusi aliyepambwa kwa ajili ya mume wake.+

  • Ufunuo 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba yaliyojaa mapigo saba ya mwisho+ akaja na kuniambia: “Njoo, nami nitakuonyesha bibi harusi, mke wa Mwanakondoo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki