Luka 15:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Vilevile, leteni ndama aliyenoneshwa, mchinjeni, nasi tule na tusherehekee, 24 kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa na sasa yuko hai;+ alikuwa amepotea naye amepatikana.’ Basi wakaanza kusherehekea.
23 Vilevile, leteni ndama aliyenoneshwa, mchinjeni, nasi tule na tusherehekee, 24 kwa sababu huyu mwanangu alikuwa amekufa na sasa yuko hai;+ alikuwa amepotea naye amepatikana.’ Basi wakaanza kusherehekea.