Luka 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Simoni, Simoni, tazama! Shetani anataka kuwapata ninyi nyote ili awapepete kama ngano.+ 2 Timotheo 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 nao warudiwe na fahamu na kutoka kwenye mtego wa Ibilisi, kwa kuwa amewanasa wakiwa hai ili wafanye mapenzi yake.+
26 nao warudiwe na fahamu na kutoka kwenye mtego wa Ibilisi, kwa kuwa amewanasa wakiwa hai ili wafanye mapenzi yake.+