Yohana 13:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Baada ya Yuda kuchukua kipande hicho cha mkate, Shetani akamwingia.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Kile unachofanya, kifanye upesi zaidi.” Matendo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Petro akamuuliza: “Anania, kwa nini Shetani amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ ukajiwekea kisiri kiasi fulani cha bei ya shamba? 1 Timotheo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Himenayo+ na Aleksanda ni kati yao, nami nimewatia mkononi mwa Shetani,+ ili wafundishwe kwa nidhamu wasikufuru.
27 Baada ya Yuda kuchukua kipande hicho cha mkate, Shetani akamwingia.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Kile unachofanya, kifanye upesi zaidi.”
3 Lakini Petro akamuuliza: “Anania, kwa nini Shetani amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ ukajiwekea kisiri kiasi fulani cha bei ya shamba?
20 Himenayo+ na Aleksanda ni kati yao, nami nimewatia mkononi mwa Shetani,+ ili wafundishwe kwa nidhamu wasikufuru.