1 Wakorintho 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 lazima mumkabidhi mtu wa namna hiyo kwa Shetani+ kwa ajili ya kuangamizwa kwa mwili, ili roho iokolewe katika siku ya Bwana.+ 1 Wakorintho 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini sasa ninawaandikia mwache kushirikiana*+ na mtu yeyote anayeitwa ndugu ambaye ni mwasherati* au mtu mwenye pupa+ au anayeabudu sanamu au mtukanaji* au mlevi+ au mnyang’anyi,+ hata msile chakula pamoja na mtu wa namna hiyo.
5 lazima mumkabidhi mtu wa namna hiyo kwa Shetani+ kwa ajili ya kuangamizwa kwa mwili, ili roho iokolewe katika siku ya Bwana.+
11 Lakini sasa ninawaandikia mwache kushirikiana*+ na mtu yeyote anayeitwa ndugu ambaye ni mwasherati* au mtu mwenye pupa+ au anayeabudu sanamu au mtukanaji* au mlevi+ au mnyang’anyi,+ hata msile chakula pamoja na mtu wa namna hiyo.