-
Waebrania 12:22-24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Lakini ninyi mmeukaribia Mlima Sayuni,+ jiji la Mungu aliye hai, yaani, Yerusalemu la mbinguni,+ na makumi ya maelfu ya malaika 23 katika kusanyiko kuu,+ na kutaniko la wazaliwa wa kwanza ambao wameandikishwa mbinguni, na Mungu Mwamuzi wa wote,+ na maisha ya kiroho+ ya waadilifu ambao wamefanywa wakamilifu,+ 24 na Yesu mpatanishi+ wa agano jipya,+ na damu iliyonyunyizwa, ambayo husema kwa njia bora kuliko damu ya Abeli.+
-