Mwanzo 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+ Zaburi 94:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Inuka, Ee Mwamuzi wa dunia.+ Walipe wanachostahili watu wenye kiburi.+ Isaya 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+Yehova ni Mfalme wetu;+Yeye Ndiye atakayetuokoa.+
25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+
22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+Yehova ni Mfalme wetu;+Yeye Ndiye atakayetuokoa.+