Kutoka 34:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini kila mara Musa alipoingia ndani mbele za Yehova ili kuongea naye, alikivua kitambaa hicho lakini alijifunika alipotoka nje.+ Alipotoka nje aliwajulisha Waisraeli amri zote alizopewa.+
34 Lakini kila mara Musa alipoingia ndani mbele za Yehova ili kuongea naye, alikivua kitambaa hicho lakini alijifunika alipotoka nje.+ Alipotoka nje aliwajulisha Waisraeli amri zote alizopewa.+