Kutoka 34:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini Musa alipokuwa akiingia ndani mbele za Yehova kusema naye, alikuwa akiutoa utaji mpaka wakati wa kutoka kwake nje.+ Naye akatoka nje na kusema na wana wa Israeli mambo aliyokuwa akiamriwa.+ Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 34:34 Mnara wa Mlinzi,7/15/1990, kur. 15-17
34 Lakini Musa alipokuwa akiingia ndani mbele za Yehova kusema naye, alikuwa akiutoa utaji mpaka wakati wa kutoka kwake nje.+ Naye akatoka nje na kusema na wana wa Israeli mambo aliyokuwa akiamriwa.+