Kutoka 34:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini kila mara Musa alipoingia ndani mbele za Yehova ili kuongea naye, alikivua kitambaa hicho lakini alijifunika alipotoka nje.+ Alipotoka nje aliwajulisha Waisraeli amri zote alizopewa.+ Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 34:34 Mnara wa Mlinzi,7/15/1990, kur. 15-17
34 Lakini kila mara Musa alipoingia ndani mbele za Yehova ili kuongea naye, alikivua kitambaa hicho lakini alijifunika alipotoka nje.+ Alipotoka nje aliwajulisha Waisraeli amri zote alizopewa.+