Wafilipi 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lengo langu ni kumjua yeye na nguvu za ufufuo wake+ na kushiriki katika mateso yake,+ nikijitiisha kwenye kifo kama chake,+ 1 Petro 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Badala yake, endeleeni kushangilia+ kwa kadiri ambayo ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo wa utukufu wake.+
10 Lengo langu ni kumjua yeye na nguvu za ufufuo wake+ na kushiriki katika mateso yake,+ nikijitiisha kwenye kifo kama chake,+
13 Badala yake, endeleeni kushangilia+ kwa kadiri ambayo ninyi ni washiriki katika mateso ya Kristo,+ ili mshangilie na kuwa na shangwe sana pia wakati wa ufunuo wa utukufu wake.+