17 Basi, ikiwa sisi ni watoto, sisi pia ni warithi—warithi wa Mungu kwelikweli, lakini warithi pamoja+ na Kristo—mradi tu tunateseka pamoja+ ili pia tutukuzwe pamoja.+
24 Ninashangilia sasa katika mateso yangu kwa ajili yenu,+ nami ninakabili dhiki za Kristo ambazo bado hazimo katika mwili wangu kwa ajili ya mwili wake,+ ambao ni kutaniko.+