Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa; tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+

  • 1 Wakorintho 4:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana ninaona kwamba Mungu ametuweka sisi mitume mwisho katika wonyesho wa hadharani kama watu waliohukumiwa kifo,+ kwa sababu tumekuwa tamasha kwa ulimwengu,+ na kwa malaika, na kwa wanadamu.

  • 1 Wakorintho 15:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ninakabili kifo kila siku. Hili ni hakika kama ilivyo furaha yangu kwenu, akina ndugu, niliyo nayo katika Kristo Yesu Bwana wetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki