Waroma 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa; tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+ 1 Wakorintho 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ikiwa kama watu wengine,* nimepigana na wanyama wa mwituni huko Efeso,+ hilo lina faida gani kwangu? Ikiwa wafu hawatafufuliwa, “acheni tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.”+ 2 Wakorintho 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 bali katika kila njia tunajipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu,+ kwa kuvumilia mengi, kwa dhiki, kwa nyakati za uhitaji, kwa shida,+ 2 Wakorintho 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 kama wasiojulikana na bado tunatambuliwa, kama wanaokufa* na bado, tazama! tunaishi,+ kama walioadhibiwa* na bado hatujakabidhiwa kwenye kifo,+
36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa; tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+
32 Ikiwa kama watu wengine,* nimepigana na wanyama wa mwituni huko Efeso,+ hilo lina faida gani kwangu? Ikiwa wafu hawatafufuliwa, “acheni tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.”+
4 bali katika kila njia tunajipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu,+ kwa kuvumilia mengi, kwa dhiki, kwa nyakati za uhitaji, kwa shida,+
9 kama wasiojulikana na bado tunatambuliwa, kama wanaokufa* na bado, tazama! tunaishi,+ kama walioadhibiwa* na bado hatujakabidhiwa kwenye kifo,+