Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa; tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+

  • 1 Wakorintho 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ikiwa kama watu wengine,* nimepigana na wanyama wa mwituni huko Efeso,+ hilo lina faida gani kwangu? Ikiwa wafu hawatafufuliwa, “acheni tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.”+

  • 2 Wakorintho 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 bali katika kila njia tunajipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu,+ kwa kuvumilia mengi, kwa dhiki, kwa nyakati za uhitaji, kwa shida,+

  • 2 Wakorintho 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 kama wasiojulikana na bado tunatambuliwa, kama wanaokufa* na bado, tazama! tunaishi,+ kama walioadhibiwa* na bado hatujakabidhiwa kwenye kifo,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki