10 Sikuzote katika mwili wetu tunavumilia matendo yenye kuleta kifo ambayo Yesu aliteseka,+ ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu. 11 Kwa maana sikuzote sisi tunaoishi tunakabili kifo uso kwa uso+ kwa ajili ya Yesu, ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu unaoweza kufa.