Waroma 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa kweli, kutahiriwa+ kuna faida ikiwa tu umezoea kuifuata sheria;+ lakini ikiwa wewe huvunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutotahiriwa. Wagalatia 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wote wanaotegemea matendo ya sheria wako chini ya laana, kwa maana imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha Sheria kwa kuyatenda.”+
25 Kwa kweli, kutahiriwa+ kuna faida ikiwa tu umezoea kuifuata sheria;+ lakini ikiwa wewe huvunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutotahiriwa.
10 Wote wanaotegemea matendo ya sheria wako chini ya laana, kwa maana imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika mambo yote yaliyoandikwa katika kitabu cha kukunjwa cha Sheria kwa kuyatenda.”+