Waroma 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kuwa wale wanaoishi kulingana na mwili hukaza akili zao kwenye mambo ya mwili,+ lakini wale wanaoishi kulingana na roho kwenye mambo ya roho.+ Waroma 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa maana ikiwa mnaishi kulingana na mwili hakika ninyi mtakufa; bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.+
5 Kwa kuwa wale wanaoishi kulingana na mwili hukaza akili zao kwenye mambo ya mwili,+ lakini wale wanaoishi kulingana na roho kwenye mambo ya roho.+
13 kwa maana ikiwa mnaishi kulingana na mwili hakika ninyi mtakufa; bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.+