Yakobo 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana sisi sote hujikwaa* mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno, huyo ni mtu mkamilifu, anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia.
2 Kwa maana sisi sote hujikwaa* mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno, huyo ni mtu mkamilifu, anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia.