1 Wafalme 8:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “Wakikutendea dhambi (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie vikali na kuwaacha mikononi mwa maadui, na waliowateka wawapeleke katika nchi ya maadui, mbali au karibu;+ Methali 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ni nani anayeweza kusema: “Nimeusafisha moyo wangu;+Mimi ni safi kutokana na dhambi yangu”?+ 1 Yohana 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ikiwa tunasema, “Hatuna dhambi,” tunajipotosha wenyewe+ na kweli haimo ndani yetu.
46 “Wakikutendea dhambi (kwa sababu hakuna mwanadamu asiyetenda dhambi),+ nawe uwakasirikie vikali na kuwaacha mikononi mwa maadui, na waliowateka wawapeleke katika nchi ya maadui, mbali au karibu;+