-
Matendo 15:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Sasa watu fulani wakashuka kutoka Yudea na kuanza kuwafundisha akina ndugu: “Msipotahiriwa kulingana na desturi ya Musa,+ hamwezi kuokolewa.” 2 Baada ya Paulo na Barnaba kutoelewana na kubishana sana na watu hao, wakapanga Paulo na Barnaba na wengine wapande kwenda kwa mitume na wazee huko Yerusalemu+ kuuliza kuhusu jambo* hilo.
-