Waefeso 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini ninyi pia mlimtumaini baada ya kulisikia neno la kweli, habari njema kuhusu wokovu wenu. Baada ya kuamini, mlitiwa muhuri+ kupitia kwake kwa roho takatifu iliyoahidiwa,
13 Lakini ninyi pia mlimtumaini baada ya kulisikia neno la kweli, habari njema kuhusu wokovu wenu. Baada ya kuamini, mlitiwa muhuri+ kupitia kwake kwa roho takatifu iliyoahidiwa,