Wagalatia 4:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu au, kwamba sasa Mungu amewajua ninyi, kwa nini mnarudi tena kwenye mambo ya msingi yaliyo dhaifu+ na yasiyo na maana na kutaka kuyatumikia tena?+ 10 Mnashika kwa uangalifu sana siku na miezi+ na majira na miaka.
9 Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu au, kwamba sasa Mungu amewajua ninyi, kwa nini mnarudi tena kwenye mambo ya msingi yaliyo dhaifu+ na yasiyo na maana na kutaka kuyatumikia tena?+ 10 Mnashika kwa uangalifu sana siku na miezi+ na majira na miaka.