-
Waroma 4:16, 17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Ndiyo sababu ni kupitia imani, ili iwe kulingana na fadhili zisizostahiliwa,+ kusudi ahadi iwe hakika kwa uzao wake* wote,+ si kwa wale tu wanaoshika Sheria, bali pia kwa wale wanaoshika imani ya Abrahamu, ambaye ni baba yetu sote.+ 17 (Kama tu ilivyoandikwa: “Nimekuweka uwe baba ya mataifa mengi.”)+ Hili lilikuwa machoni pa Mungu, ambaye Abrahamu alimwamini, anayewafanya wafu kuwa hai na kuyaita mambo yasiyokuwako kana kwamba yako.*
-