1 Wakorintho 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mlinunuliwa kwa bei;+ acheni kuwa watumwa wa wanadamu. Wagalatia 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kristo alitununua,+ akatuweka huru+ kutoka katika laana ya Sheria akawa laana badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa kwenye mti.”+
13 Kristo alitununua,+ akatuweka huru+ kutoka katika laana ya Sheria akawa laana badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa kwenye mti.”+