12 Usiku umesonga sana; mchana umekaribia. Kwa hiyo, na tuyaache matendo ya giza+ na tuvae silaha za nuru.+ 13 Na tujiendeshe kwa adabu+ kama wakati wa mchana, si katika karamu zenye vurugu na ulevi, si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,+ si katika mizozo na wivu.+