5 Kwa maana hapo zamani ndivyo walivyokuwa wakijipamba wale wanawake watakatifu, waliomtumaini Mungu, wakijitiisha kwa waume zao, 6 kama Sara alivyomtii Abrahamu, akimwita bwana.+ Nanyi mmekuwa watoto wake, mradi tu mnaendelea kutenda mema, bila kuogopa.+