9 Hiyo ndiyo sababu pia tangu siku tuliposikia kuhusu jambo hilo, hatujaacha kamwe kusali kwa ajili yenu+ na kuomba mjazwe ujuzi sahihi+ wa mapenzi yake katika hekima yote na utambuzi wa kiroho,+
3 Jambo hilo ni zuri na linampendeza Mwokozi wetu, Mungu,+4 ambaye mapenzi yake ni kwamba watu wa namna zote waokolewe+ na kupata ujuzi sahihi wa kweli.