12 Walifunuliwa kwamba hawakuwa wakijihudumia wenyewe, bali walikuwa wakiwahudumia ninyi, kwa mambo ambayo sasa mmetangaziwa na wale ambao waliwatangazia habari njema kwa roho takatifu iliyotumwa kutoka mbinguni.+ Malaika wanatamani kuchungulia ndani ya mambo hayo.