Wakolosai 2:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, kama vile ambavyo mmempokea Kristo Yesu aliye Bwana, endeleeni kutembea katika muungano naye, 7 mkiwa mmetia mizizi na kujengwa katika yeye+ na kuimarishwa katika imani,+ kama vile mlivyofundishwa, mkijawa kabisa na shukrani.+
6 Kwa hiyo, kama vile ambavyo mmempokea Kristo Yesu aliye Bwana, endeleeni kutembea katika muungano naye, 7 mkiwa mmetia mizizi na kujengwa katika yeye+ na kuimarishwa katika imani,+ kama vile mlivyofundishwa, mkijawa kabisa na shukrani.+