Waefeso 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 sikuzote mkimtolea shukrani+ Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo.+ 1 Wathesalonike 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Toeni shukrani kuhusu kila jambo.+ Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu.
20 sikuzote mkimtolea shukrani+ Mungu na Baba yetu kwa ajili ya mambo yote katika jina la Bwana wetu Yesu Kristo.+