22 Umati ukasimama pamoja dhidi yao, nao wale mahakimu wa raia, baada ya kuyararua mavazi yao, wakaamuru wapigwe kwa fimbo.+23 Baada ya kuwapiga sana, wakawatupa gerezani na kumwagiza mlinzi wa jela awalinde.+
2 Kwa maana ingawa kwanza tulikuwa tumeteseka na kudharauliwa huko Filipi,+ kama mnavyojua, tulijipa ujasiri* kupitia Mungu wetu ili tuwatangazie ninyi habari njema ya Mungu+ licha ya upinzani.*