8 Tangu sasa na kuendelea nimewekewa akiba ya taji la uadilifu,+ ambalo Bwana, aliye mwamuzi mwadilifu,+ atanipa kuwa thawabu katika siku ile,+ lakini si mimi tu, bali pia wote ambao wamependa kufunuliwa kwake.
12Hivyo basi, kwa kuwa tuna wingu kubwa hivyo la mashahidi linalotuzunguka, acheni sisi pia tuondoe kila uzito na dhambi inayotutatanisha kwa urahisi,+ na tukimbie kwa uvumilivu shindano la mbio lililowekwa mbele yetu,+