Tito 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wasiseme vibaya kumhusu yeyote, wasiwe wagomvi, bali wawe na usawaziko,+ wakionyesha upole wote kwa watu wote.+ Yakobo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+
2 wasiseme vibaya kumhusu yeyote, wasiwe wagomvi, bali wawe na usawaziko,+ wakionyesha upole wote kwa watu wote.+
17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+