10 Akawaambia: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuelewa siri takatifu za Ufalme wa Mungu, lakini ninazungumza na wale wengine kwa mifano,+ ili ingawa wanatazama, watazame lakini wasione, na ingawa wanasikia, wasielewe.+
7 Bali tunazungumza kuhusu hekima ya Mungu katika siri takatifu,+ hekima iliyofichwa, ambayo Mungu aliiagiza awali kabla ya mifumo ya mambo kwa ajili ya utukufu wetu.