-
Waefeso 2:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Kwa maana yeye ni amani yetu,+ yule aliyefanya vile vikundi viwili kuwa kimoja+ na kuuharibu ukuta wa katikati uliowatenganisha.+ 15 Kupitia mwili wake aliufuta uadui, ile Sheria iliyokuwa na amri na maagizo, ili afanye vile vikundi viwili katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya+ na kufanya amani,
-