12 Kwa maana kama vile mwili ni mmoja lakini una viungo vingi, na viungo vyote vya mwili huo, ingawa ni vingi, ni mwili mmoja,+ ndivyo pia alivyo Kristo.
28 Hakuna Myahudi wala Mgiriki,+ hakuna mtumwa wala mtu huru,+ hakuna mwanamume wala mwanamke,+ kwa maana ninyi nyote ni kitu kimoja katika muungano na Kristo Yesu.+