13 Kristo alitununua,+ akatuweka huru+ kutoka katika laana ya Sheria akawa laana badala yetu, kwa sababu imeandikwa: “Amelaaniwa kila mtu aliyetundikwa kwenye mti.”+
15 Hiyo ndiyo sababu yeye ni mpatanishi wa agano jipya,+ ili kwa sababu kifo kimetokea kusudi waachiliwe huru kupitia fidia+ kutoka kwenye makosa chini ya agano la zamani, wale ambao wameitwa waipokee ahadi ya urithi unaodumu milele.+
24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi zetu+ katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tufe kuhusiana* na dhambi na tuishi kuhusiana na uadilifu. Na “kwa vidonda vyake mliponywa.”+