Matendo 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Kwa hiyo endeleeni kukesha, na kukumbuka kwamba kwa miaka mitatu,+ usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mmoja wenu kwa machozi.
31 “Kwa hiyo endeleeni kukesha, na kukumbuka kwamba kwa miaka mitatu,+ usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mmoja wenu kwa machozi.