Waefeso 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo, mimi mfungwa+ katika Bwana, ninawasihi mtembee kwa kustahili+ mwito mliopokea, Wakolosai 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na hivyo mtembee kwa kumstahili Yehova* ili kumpendeza kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema na kuongezeka katika ujuzi sahihi wa Mungu;+ 1 Petro 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote kama Yule Mtakatifu aliyewaita ninyi,+
10 na hivyo mtembee kwa kumstahili Yehova* ili kumpendeza kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema na kuongezeka katika ujuzi sahihi wa Mungu;+