10 Lakini, baada ya kuteseka kwa muda mfupi, Mungu wa fadhili zote zisizostahiliwa, aliyewaita kwenye utukufu wake wa milele+ katika muungano na Kristo, yeye mwenyewe atamaliza mazoezi yenu. Atawafanya muwe imara,+ atawatia nguvu,+ atawapa msingi imara.