2 Wakorintho 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana ingawa dhiki* ni ya muda mfupi na ni nyepesi, inatokeza kwa ajili yetu utukufu ulio mkuu* na bora zaidi na zaidi, na wa milele;+ 1 Wathesalonike 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ili mwendelee kutembea kwa kumstahili Mungu+ anayewaita kwenye Ufalme+ na utukufu wake.+
17 Kwa maana ingawa dhiki* ni ya muda mfupi na ni nyepesi, inatokeza kwa ajili yetu utukufu ulio mkuu* na bora zaidi na zaidi, na wa milele;+