Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+Utapaangalia mahali walipokuwa,Nao hawatakuwepo.+ Yeremia 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu jeraha* la binti ya watu wangu, wakisema,“Kuna amani! Kuna amani!” Wakati hakuna amani.+
10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+Utapaangalia mahali walipokuwa,Nao hawatakuwepo.+
11 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu jeraha* la binti ya watu wangu, wakisema,“Kuna amani! Kuna amani!” Wakati hakuna amani.+