Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 23:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova wa majeshi anasema hivi:

      “Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowatabiria ninyi.+

      Wanawadanganya.*

      Wanasema maono ya moyo wao wenyewe,+

      Si kutoka katika kinywa cha Yehova.+

      17 Wanawaambia tena na tena wale wasioniheshimu,

      ‘Yehova amesema hivi: “Mtakuwa na amani.”’+

      Nao wanamwambia kila mtu anayefuata moyo wake mkaidi,

      ‘Hutapatwa na msiba wowote.’+

  • Ezekieli 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hayo yote ni kwa sababu wamewapotosha watu wangu wakisema, “Kuna amani!” wakati hakuna amani.+ Ukuta dhaifu unapojengwa, wanaupiga lipu kwa chokaa.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki