Ezekieli 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwa sababu, naam, kwa sababu wamewapotosha watu wangu, na kusema, “Kuna amani!” wakati hakuna amani,+ pia kuna mtu anayejenga ukuta wa kugawanya, lakini kwa ubatili+ kuna wale wanaoupiga lipu kwa chokaa.’+ Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 13:10 w99 10/1 13-14 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 13:10 Mnara wa Mlinzi,10/1/1999, kur. 13-149/15/1988, uku. 17
10 kwa sababu, naam, kwa sababu wamewapotosha watu wangu, na kusema, “Kuna amani!” wakati hakuna amani,+ pia kuna mtu anayejenga ukuta wa kugawanya, lakini kwa ubatili+ kuna wale wanaoupiga lipu kwa chokaa.’+