Isaya 30:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+ Ezekieli 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini manabii wake wamepiga lipu matendo yao kwa kutumia chokaa. Wanaona maono ya uwongo na kufanya uaguzi* wa uwongo,+ nao wanasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi,” wakati ambapo Yehova mwenyewe hajasema.
10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+
28 Lakini manabii wake wamepiga lipu matendo yao kwa kutumia chokaa. Wanaona maono ya uwongo na kufanya uaguzi* wa uwongo,+ nao wanasema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi,” wakati ambapo Yehova mwenyewe hajasema.